Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Chadema kuchambua sekta ya elimu nchini
Elimu

Chadema kuchambua sekta ya elimu nchini

Susan Lyimo, Waziri Kivuli wa Elimu
Spread the love

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinatarajia kuandaa mkutano na waandishi wa habari ili kuchambua hali ya sasa ya elimu ya juu nchini, anaandika Hellen Sisya.

Akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho leo hii, Halima Mdee, mbunge wa Kawe, amesema kuwa chama chake kupitia kwa Suzan Lyimo, Waziri Kivuli wa Elimu, kitatoa hali halisi ya elimu ya juu ilivyo kwa sasa.

“Serikali inatumia visingizio kubagua Watanzania, na sisi hili suala hili tutalikemea, tutaendelea kulikemea na tutaanda mkutano kwa ajili ya kufanya uchambuzi wa kina wa elimu.

Hata hivyo, Mdee amesema siku na tarehe ya kufanya mkutano huo haijapangwa na kwamba dhamira ya kufanya uchambuzi huo wanayo kama chama.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari Mchanganyiko

Chongolo aagiza TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa bweni

Spread the loveMkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amemuagiza Kamanda wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Ugawaji taulo za kike watajwa kutokomeza utoro shuleni

Spread the loveBAADHI ya wanafunzi na walimu wa shule za sekondari mkoani...

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the love  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

error: Content is protected !!