Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Maisha Afya Kigwangalla atoa siku 90 kuboreshwa chumba cha upasuaji 
Afya

Kigwangalla atoa siku 90 kuboreshwa chumba cha upasuaji 

Dk.Hamisi Kigwangalla, waziri wa Maliasili na Utalii
Spread the love

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto Dk. Hamis Kigwangala ametoa miezi mitatu  kwa halmashauri ya mji wa Kahama kuhakikisha inafanya ukarabati wa chumba cha upasuaji katika hospitali ya mji wa  Kahama, anaandika Mwandishi Wetu

Ametoa agizo hilo wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani humo yenye lengo la kutembelea baadhi ya sehemu zinazotoa huduma za afya.

Akiwa hospitalini hapo Dk.  Kigwangala  amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa Kahama, Anderson Msumba kuhakikisha  anasimamia kazi hiyo kwa weledi ili  liweze kufanikiwa.

Pia amemtaka Mkurugenzi kuhakikisha anafanya marekebisho katika chumba cha kujifungulia akina mama wajawazito.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kisukari cha mimba ni nini?

Spread the loveKisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi...

AfyaHabari Mchanganyiko

Huduma za kibingwa zazinduliwa katika hospitali za halmashauri 184

Spread the loveSERIKALI imezindua huduma za matibabu za kibingwa katika hospitali 184...

AfyaHabari Mchanganyiko

200 wapimwa afya na GGML katika maonesho ya OSHA

Spread the loveZAIDI ya watu 200 jijini Arusha wamejitokeza kupimwa afya na...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!