Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Madini yampaisha Rais John Magufuli
Habari za Siasa

Madini yampaisha Rais John Magufuli

Rais John Magufuli akizungumza
Spread the love

WAJUMBE wa kamati ya kuratibu rasilimali ya madini kwa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu wamepongeza Rais Dk John Magufuli kwa jitihada anazofanya za kudhibiti uvunaji haramu wa rasilimali hiyo na wamewaomba viongozi wa nchi zingine kuiga mfano huo, anaandika Mwandishi Wetu.

Wakizungumza baada ya kumaliza kikao chao kilichokuwa kinafanyika mjini Arusha, wajumbe hao kutoka nchi 12 za Ukanda wa Maziwa Makuu walishauri jitihada zilizoonyeshwa na Rais John Magufuli zifanyike katika nchi zote za ukanda huo ikiwa ni pamoja na kuhakikisha sheria zote za uchimbaji, uuzaji wa madini zinazingatiwa na nchi husika zinanufaika.

Mratibu wa kikao hicho kutoka sekretarieti ya nchi za ukanda huo, Balozi Zachary Muhuri Muita, alisema uchimbaji wa madini ukifanyika kwa njia halali na wachimbaji wakalipa kodi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

error: Content is protected !!