Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Algeria yajiita maskini jeuri
Kimataifa

Algeria yajiita maskini jeuri

Mji Mkuu wa Algeria, Algiers
Spread the love

ALGERIA imesema haitachukua mkopo wa kigeni licha ya nchi hiyo kukabiliwa na matatizo mengi ya ndani hususani ya kiuchumi, anaandika Victoria Chance.

Uchumi wa nchi hiyo umeporomoka kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la kimataifa.

Abdul Majeed Taboun Waziri Mkuu wa Algeria ameyasema hayo katika kikao na mkuu wa Jumuiya ya

Waajiri na Wafanyakazi wa nchi hiyo na kuongeza kuwa, Rais Abdelaziz Bouteflika wa nchi hiyo amepiga marufuku nchi yake kuchukua mkopo kutoka nje hadi pale taifa litakapokuwa halikabiliwi na hatari yoyote ile.

Aidha, amesema kuwa nchi hiyo inataka kuwa moja ya nchi zinazostawi kiuchumi kwa kuzalisha bidhaa za aina mbalimbali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!