Sunday , 28 April 2024
Habari za Siasa

Zitto ampinga Mnyika

Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini
Spread the love

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, amepinga hoja ya John Mnyika, Waziri Kivuli ya Nishati na Madini, aliyetaka miswada mitatu inayohusu ulinzi wa rasilimali za nchi kutowasilishwa Bungeni kwa hati ya dharura, anaandika Mwandishi Wetu.

Ili kusikiliza zaidi alichosema Zitto kuhusu hoja za Mnyika, fuatilia video hapo chini, pia usiasahau ‘kusubscribe’ channel yetu kupata habari kwa haraka.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

error: Content is protected !!