Saturday , 4 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mwanasheria amtoroka Jammeh
Kimataifa

Mwanasheria amtoroka Jammeh

Edward Anthony, Mwanasheria wa Rais Yahya Jammeh nchini Gambia
Spread the love

Edward Anthony Mwanasheria wa Rais Yahya Jammeh nchini Gambia akimbilia uhamishoni katika taifa jirani la Senegal, anaandika Wolfram Mwalongo.

Antony ambaye amekuwa bega kwa bega katika harakati za kufungua kesi ya kupinga matokeo yaliyompa ushindi wa mpinzani Adama Barrow amemtelekeza mteja wake.

Hatua ya kuhamisha makazi gafla kwa Mwasheria huyo kumetokana na kupuuzwa kwa ushauri wake kwa Rais Jammeh.

Hofu na vitisho vya machafuko vimemwondoa Gambia.Rais Jammeh hajaridhia kuondoka madarakani licha ya kukaa Ikulu kwa miaka 22 sasa.

Katika barua yake ya Januari 17 (juzi) kwa Rais Jammeh, Mwanasheria huyo alimtaka kiongozi huyo kuepusha machafuko kwakukabidhi madaraka kwa mpinzani ambaye ndiye aliyetangazwa kuwa mshindi.

Hata hivyo Rais Jammeh amekuwa na moyo mugumu kusikiliza washauli mbalimbali walio anza kumsihi akabidhi nchi kwa Barrow.Kutokana na kuhofia machafuko.

Rais Jammeh alipaswa kuachia ngazi rasmi hii leo ingawa ameonesha wazi azma ya kung’ang’ana Ikulu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!