Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Uchaguzi Mkuu Uganda: Museveni aongoza
Kimataifa

Uchaguzi Mkuu Uganda: Museveni aongoza

Yoweri Museveni
Spread the love

RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, anaongoza katika matokeo ya awali ya kura zilizohesabiwa. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea).

Mpaka kufika saa 4 asubihi ya leo tarehe 15 Januari 2021, jumla ya vituo 8,310 vya kuhesabia kura kati ya 34, 684 tayari vimetoa matokeo.

Rais Museveni anatajwa kuongoza kwa kura 1,536,205 (65.02%), huku mshindani wake mkuu Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) akipata kura 647,146 (27.39%).

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!