Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Maisha Afya Kigwangalla atoa siku 90 kuboreshwa chumba cha upasuaji 
Afya

Kigwangalla atoa siku 90 kuboreshwa chumba cha upasuaji 

Dk.Hamisi Kigwangalla, waziri wa Maliasili na Utalii
Spread the love

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto Dk. Hamis Kigwangala ametoa miezi mitatu  kwa halmashauri ya mji wa Kahama kuhakikisha inafanya ukarabati wa chumba cha upasuaji katika hospitali ya mji wa  Kahama, anaandika Mwandishi Wetu

Ametoa agizo hilo wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani humo yenye lengo la kutembelea baadhi ya sehemu zinazotoa huduma za afya.

Akiwa hospitalini hapo Dk.  Kigwangala  amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa Kahama, Anderson Msumba kuhakikisha  anasimamia kazi hiyo kwa weledi ili  liweze kufanikiwa.

Pia amemtaka Mkurugenzi kuhakikisha anafanya marekebisho katika chumba cha kujifungulia akina mama wajawazito.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Afya

Mloganzila yajipanga kupandikizaji wa ini

Spread the love  HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imesema kutokana na uwekezaji uliofanywa...

AfyaHabari za Siasa

Serikali yasaka watumishi afya ngazi ya jamii 8,900

Spread the loveSERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Bima ya afya kwa wote kuanza Aprili, wajane kicheko

Spread the loveSHERIA ya Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuanza kutumika...

AfyaHabari Mchanganyiko

Marekani kuipa Tanzania bilioni 980 kudhibiti VVU, UKIMWI

Spread the loveSERIKALI ya Tanzania inatarajiwa kupewa msaada wa fedha kiasi cha...

error: Content is protected !!