Saturday , 27 April 2024

Day: April 6, 2017

Habari za Siasa

Mwenyekiti CUF agoma kuondoka madarakani

LICHA ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Christina Mdeme kutangaza kumsimamisha uongozi wa Mwenyekiti wa mtaa wa Malimwa Kusini, Ismail Seifu (CUF),...

Habari Mchanganyiko

Bodi ya Chai Rungwe kuvunjwa

MBUNGE wa Viti Maalumu, Sophia Mwakagenda ameitaka Serikali kuvunja bodi ya chai ya Wilaya ya Rungwe kwa sababu wananchi hawana imani na bodi...

Habari za Siasa

Serikali yatumia mil 768 kumtunza Faru Fausta

JUMLA ya 768 milioni zinatumika kila mwaka kwa ajili ya kumtunza Faru Fausta katika hifadhi ya ya Ngorongoro, bunge imefahamika, anaandika Dany Tibason....

Habari Mchanganyiko

TPA yatakiwa kupima mizigo kwa tani

MBUNGE wa Baraza la Wawakilishi Jaku Hashim Ayoub (CCM) ameitaka Serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kuweka utaratibu wa kupima mizigo inayoingia...

Habari Mchanganyiko

Tanroads yatenga bil 3 kujenga madaraja Masasi

WAKALA wa Barabara Tanzania (Tanroads), umekubali kutenga fedha kiasi cha Sh. 3 bilioni kwa ajili madaraja ya Halmashauri ya wilayani Masasi katika bajeti...

Habari Mchanganyiko

Kampuni ya Chai Kagera yakumbwa na ukata

WIZARA ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, imetaja kuwa ucheleweshaji wa malipo ya wakulima na wafanyakazi katika kiwanda cha chai cha Maruku mkoani Kagera...

AfyaHabari Mchanganyiko

Uhaba wa dawa wakithiri Nyamagana

UHABA wa dawa katika Hospitali ya wilaya ya Nyamagana mkoani hapa, umezidi kuongezeka na kuwa kero kwa wagonjwa wanaofika kupata huduma kwenye hospitali...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Mdee matatani, wapinzani wasusia bunge

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Muungano wa Tanzania, amewatia matatazi Freeman Mbowe, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai...

error: Content is protected !!