RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemtea Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Taarifa hiyo imetolewa leo tarehe 31 Machi 2024 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Raia Ikulu, Zuhura Yunus akielezea mabadiliko madogo ya viongozi yaliyofanywa na Rais Samia.
Makonda anachukua nafasi ya John Mongella, atakayepangiwa majukumu mengine.
Kufuatia uteuzi huo, Makonda anaachia ngazi katika nafasi ya Uenezi wa CCM aliyoteuliwa kuishika mwishoni mwa 2023.
Mama katukosea kumuondoa Makonda chamani Maana aliletwa mvuto mpya Kwa kutanzuankero za watanzania haraka.Lakini wenzie wamemuonea wivu wakamchongea sio bule ,Makonda alifaa pia kuwa katibu mkuu wa CCM .Ukilinganisha katibu aliyepo Ni mpole muno au mulangira Fulani ,makamu Ni Mzee ameishakuwa mwoga .Najiuliza Nani ataiongoza CCM tufike salama?Maana Mafisadi ,wadhurumu haki ,wazembe wanatumia CCM kuficha makucha yao.
Palipo na dira pana maendeleo na hilo ndo takwa msingi kuelekea maisha bora.
Tatizo lake anajisahau na kupenda kujichukulia madaraka yasiyomuhusu