Tuesday , 19 March 2024
Home Kitengo Michezo Karia, Kidao wachanjwa
Michezo

Karia, Kidao wachanjwa

Walace Karia, Rais wa TFF
Spread the love

 

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia ni miongoni mwa viuongozi waliopata chanjo ya corona, katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Da es Salaam. Anaripoti Kelvin Mwaipungu….(endelea)

Uzinduzi wa chanjo huo, ulifanyika jana Ikulu jijini Dar es Salaam na zoezi la kupata chanjo hiyo, liliongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Rais Samia Suluhu Hassan akichanjwa chanjo ya korona

Katika taarifa iliyotolewa na shirikisho hilo, hii leo imeeleza kuwa, Rais Karia ametoa rai kwa wanamichezo nchini, kuchanja mara baada ya Serikali itakapotoa utaratibu.

Katibu Mkuu wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, (TFF) Wilfred Kidao

Rais Karia hakuwa peke yake kwenye zoezi hilo, aliongozana na Makamu wa Rais wa Shirikisho hilo, Athuman Nyamlani pamoja na katibu Mkuu Wilfred Kidao.

 

 

 

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

Michezo

Tusua kijanja na mechi za Europa leo

Spread the love  Alhamisi ya leo EUROPA inaendelea ambapo ni mechi za...

Michezo

Hapa Diego Simeone, pale Simeone Inzaghi kivumbi cha Ligi ya Mabingwa Ulaya

Spread the love LIGI ya Mabingwa ulaya itaendelea usiku wa leo ambapoitakwenda...

error: Content is protected !!