Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Karia, Kidao wachanjwa
Michezo

Karia, Kidao wachanjwa

Walace Karia, Rais wa TFF
Spread the love

 

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia ni miongoni mwa viuongozi waliopata chanjo ya corona, katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Da es Salaam. Anaripoti Kelvin Mwaipungu….(endelea)

Uzinduzi wa chanjo huo, ulifanyika jana Ikulu jijini Dar es Salaam na zoezi la kupata chanjo hiyo, liliongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Rais Samia Suluhu Hassan akichanjwa chanjo ya korona

Katika taarifa iliyotolewa na shirikisho hilo, hii leo imeeleza kuwa, Rais Karia ametoa rai kwa wanamichezo nchini, kuchanja mara baada ya Serikali itakapotoa utaratibu.

Katibu Mkuu wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, (TFF) Wilfred Kidao

Rais Karia hakuwa peke yake kwenye zoezi hilo, aliongozana na Makamu wa Rais wa Shirikisho hilo, Athuman Nyamlani pamoja na katibu Mkuu Wilfred Kidao.

 

 

 

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

error: Content is protected !!