Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Dk. Kikwete: Lowassa ameacha alama
Habari za SiasaTangulizi

Dk. Kikwete: Lowassa ameacha alama

Spread the love

RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amesema Lowassa alikuwa na mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi na ameacha alama. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).

Dk. Kikwete ametoa kauli hiyo akizungumza katika shughuli ya kumuaga Hayati Lowassa, leo Jumanne, jijini Dar es Salaam.

“Tumshukru Mungu Kwa muda aliotupatia kuishi na kuhudumiwa na Lowassa. wakati wa uhai wake ametoa mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi yetu na ameacha alama zitakazokumbukwa daima. Shukrani kubwa tunayoweza kutoa kwake kwa sasa ni kumuombea kwa mola aiweke roho yake mahala pema peponi,” amesema Dk. Kikwete.

Aidha, Dk. Kikwete ametoa pole kwa familia hususan mjane wa Hayati Lowassa, Regina Lowassa kwa kuondokewa na mpendwa wao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Biteko aipongeza GGML kudhibiti vifo, majeruhi mahali pa kazi

Spread the loveNAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za Siasa

Askofu Shoo awataka ACT kupigania maslahi ya Taifa, wasikubali kuhongwa

Spread the loveALIYEKUWA Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri, Askofu...

Habari za Siasa

Biteko aagiza waajiri kudhibiti vifo mahali pa kazi

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

error: Content is protected !!