Monday , 13 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mtoto wa Mzee Mwinyi amwaga machozi
Habari za SiasaTangulizi

Mtoto wa Mzee Mwinyi amwaga machozi

Spread the love

Mtoto wa Hayati mzee Mwinyi, Abdullah Ali Hassan Mwinyi ameshindwa kujizuia na kumwaga machozi mbele ya waombolezaji wakati akitoa shukrani katika uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar inapofanyika shughuli ya kuaga Mwili wa baba yao mpendwa aliyefariki dunia tarehe 29 Februari 2024. Anaripoti  Mwandishi Wetu … (endelea).

Pamoja na mambo mengine Abdullah baba yao alikuwa mwalimu wa kwa wanafunzi wake, baba, mume na kiongozo wa kweli na katika nafasi zote alizimamia ipasavyo.

“Sikuja kulia… wakati nasimama hapanilikuwa namuomba Mwenyezi Mungu anijalie nisitie aibu. Kazi yangu kubwa kwa niaba ya familia ni kutoa shukrani,” amesema.

Pamoja na mambo mengine amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, serikali yake na serikali ya mapinduzi Zanzibar kwa kuwasaidia katika kipindi chote cha kumuuguza baba yao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari za Siasa

Wizara afya kutumia Sh. 1.31 trilioni, huduma za kibingwa zapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Afya, imeliomba Bunge lipitishe makadirio yake ya mapato...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Wizara kutumia Sh. 3.5 bilioni kuchunguza afya ya akili, nguvu za kiume

Spread the loveWIZARA ya Afya, imepanga kutumia Sh. 3.50 bilioni, kwa ajili...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

THRDC yapaza sauti changamoto ya intaneti

Spread the loveMTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeitaka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Prof. Ndakidemi aitaka TMA kutoa taarifa kwa njia ya SMS

Spread the loveMBUNGE wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi (CCM) ameishauri Serikali...

error: Content is protected !!