Saturday , 11 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Waziri mkuu Palestina ajiuzulu
Kimataifa

Waziri mkuu Palestina ajiuzulu

Mohammed Shtayyeh
Spread the love

Waziri Mkuu wa Palestina, Mohammed Shtayyeh ametangaza kujiuzulu pamoja na serikali yake katika hatua ambayo huenda ikafungua njia ya mageuzi yanayoungwa mkono na Marekani. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Uamuzi huo wa kujiuzulu kwa Shtayyeh lazima ukubaliwe Rais Mahmoud Abbas kabla ya kutekelezwa kwake.

Hatua hiyo inaashiria nia ya uongozi huo wa Palestina unaoungwa mkono na nchi za Magharibi kukubali mabadiliko ambayo yanaweza kuleta mageuzi yanayoonekana kuwa muhimu katika kuifufua serikali ya Mamlaka ya Palestina.

Marekani inataka serikali ya Palestina iliyofanyiwa mageuzi kuutawala Ukanda wa Gaza mara baada ya kumalizika kwa

vita vya Israel kwenye Ukanda huo, lakini bado kuna vikwazo vingi katika kutimiza matakwa hayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Palestina mwanachama wa 194 wa UN

Spread the loveBaraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Ijumaa limepitisha kwa...

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

error: Content is protected !!