Sunday , 12 May 2024
Home Kitengo Michezo Yanga yaandika rekodi mpya CAFCL
Michezo

Yanga yaandika rekodi mpya CAFCL

Spread the love

MARA ya kwanza ilikuwa ni mwaka 1998 takribani miaka 25 imepita tangu Yanga aingie hatau ya makundi bila kushindamchezo wowote kwenye kundi lake ambapo alikuwa namiamba kama ASEC Mimosas aliyemaliza na alama 13, Manning Rangers alama 10, Raja Casablanca alama 8, naYanga aliyemaliza na alama 2. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Katika kundi hilo Yanga alipokea kichapo kizito cha 6-0 dhidiya Raja Casablanca, akapokea 3-0 kutoka kwa ASEC, akapokeakipigo 4-0 kutoka kwa Manning Rangers lakini mechi yamarudiano alitoa sare ya 3-3 na Raja, 1-1 na Manning Rangers.

Michezo ya Ligi ya Mabingwa Afrika inaendelea wawakilishiwa nchi Simba na Yanga wanazidi kukupa maokoto kila sikuukibashiri Meridianbet, kila mechi odds kubwa na machaguoZaidi ya 1000.

Ushindi mkubwa wa Jumatano ya 20/12/2023 wa mabao 3-0 dhidi ya Medeama FC ya nchini Ghana, umeandika historianyingine kwa Wananchi baada ya kuvunja uteja wao wakutokushinda mechi hata moja kwenye michuano ya Ligi yaMabingwa hatua ya makundi tangu mwaka 1998.

Lakini ushindi huo ulichangiwa na juhudi za wachezaji wote, benchi la ufundi, mashabiki, na viongozi wa klabu hiyo chini yaRais Mhandisi Hersi Said na muwekezaji Ghalib Said Mohammed (GSM) ambapo mechi ya jana ilipewa heshima yajina lake na mashabiki kuingia bure.

Bado una nafasi ya kufurahia ushindi huu wewe mwananchi nawenye nchi, bashiri soka na cheza kasino ya mtandaoniMERIDIANBET. CHEZA HAPA.

Wachezaji hawa ni wa kuchungwa Zaidi Yanga.

Professor Pacome Zouzouoa anahitaji nini tena kuthibitishaubora wake, alianza kama masihara saivi gari limewaka binafsihuyu ndio mwenye funguo za ushindi kwa Yanga SC anaibebasana timu mgongoni mwake.

Khalid Aucho What a Player huyu ndio mtunza remote wayanga anachagua tu jinsi gani timu icheze, ni ngumu kuonanafasi yake lakini yeye hulinda mabeki wake na kuipandishatimu juu kwenda kushambulia ana haki ya kuitwa National team ya Uganda.

Ukicheza kasino ya mtandaoni ushindi ni rahisi, naukibashiri soka kwa odds kubwa kuwa tajiri ni suala la muda tu. Jisajiri MERIDIANBET na ongeza salio kupitiawakala wa CICO aliyepo karibu nawe.

Djigui Diara kipa bora wa Ligi kuu ya NBC, aliingia kwenyekinyag’anyiro cha walinda mlango bora wa Afrika sio kwabahati mbaya ni kwa uwezo wake, bado anaendelea kuthibitishadaraja lake ni kubwa sana ni sawa na Mbingu na Ardhi. HapaTanzania kwa sasa Diara ni Case Study ya Magolipa wengiyaani ni Role Modal wa wengi

NB: Meridianbet ukijisajiri tu unapatabonasi kibao za kasino ya mtandaoni na pia kila mechi inatoa odds kubwa PIGA*149*10# AU tembelea tovuti yaomeridianbet.co.tz

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Anza wikendi yako na Meridianbet, upige mkwanja wa maana

Spread the love Siku ya leo ni nzuri sana kwa wewe mtumiaji...

Habari MchanganyikoMichezo

Arafat atoka bima na kurejea kwenye benki

Spread the loveRais wa Zanzibar Hussein Mwinyi amemteua Arafat Ally Haji kuwa...

Michezo

Unakosaje pesa ukiwa na Meridianbet leo

Spread the love Alhamisi ndio hii sasa mteja wa meridianbet ambapo leo...

Habari MchanganyikoMichezo

Kengold wakabidhiwa kombe NBC Championship

Spread the loveMdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki...

error: Content is protected !!