Saturday , 18 May 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Walimu 29,879 waajiriwa miaka 2 ya Rais Samia
Elimu

Walimu 29,879 waajiriwa miaka 2 ya Rais Samia

Innocent Bashungwa
Spread the love

 

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema tangu Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani, Serikali imeajiri jumla ya walimu 29,879 wa Shule za Msingi na Sekondari.

Amesema takwimu zinathibishisha mkuu huyo wa nchi anathamini kada ya walimu. Anaripoti Danson Kaijage, Kagera … (endelea).

Hata hivyo, amesisitiza Serikali itaendelea kuboresha maslahi ya walimu nchini na imedhamiria kutatua na kumaliza kero za walimu nchini ikiwa ni pamoja na madaraja na stahiki zao mbalimbali.)

Amesema hayo tarehe 27 Oktoba 2023 wilayani Karagwe mkoani Kagera katika Sherehe ya kuadhimisha kilele cha siku ya Mwalimu Duniani na miaka 30 ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) yenye kauli mbiu “Walimu Tuwatakao kwa Elimu Tuitakayo, Lazima Kutatua Uhaba wa Walimu”

Bashungwa amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan ambapo tangu aingie halmashauri ya wilaya Karagwe imeshapokea Sh 3.1 bilioni kuboresha elimu ya msingi na Sh 5.5 bilioni kuboresha elimu ya sekondari.

Kuhusu kanuni ya malipo ya mkupuo na malipo ya pensheni kwa wastaafu (Kikokotoo), amesema Serikali ya imeendelea kuwa sikivu na kuwathamini walimu wastaafu, na watumishi wote waliotumikiaa Taifa hili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Elimu

Waziri SMZ akoshwa na kazi za Global Education Link

Spread the loveSERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar SMZ imesema itaendesha msako na kuzifutia...

ElimuHabari za Siasa

Serikali kuongeza wanufaika mikopo ya elimu ya juu

Spread the loveSERIKALI imesema itaongeza idadi ya wanufaika wa mikopo ya elimu...

ElimuHabari za Siasa

Serikali kufumua mitaala ya vyuo vikuu, ufundi stadi

Spread the loveSERIKALI inakusudia kufanya mapitio katika mitaala na programu za vyuo...

ElimuHabari Mchanganyiko

Chongolo aagiza TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa bweni

Spread the loveMkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amemuagiza Kamanda wa...

error: Content is protected !!