Sunday , 12 May 2024
Home Kitengo Biashara TPA: TRA itakusanya trilioni 26.7 bandarini
BiasharaTangulizi

TPA: TRA itakusanya trilioni 26.7 bandarini

Bandari Kuu ya Malindi Zanzibar
Spread the love

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema kwa kawaida Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hukusanya tozo kutokana na meli 90 zinazohudumiwa kwa mwezi na uboreshaji utakapofanyika kupitia kampuni ya DP World wataweza kuhudumia meli 130. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Akitoa taarifa kuhusu mikataba mitatu iliyosainiwa leo Ikulu jijini Dodoma, amesema mapato yaliyokuwa yanakusanywa na TRA yataongeza kutoka Sh tirilioni 7.8 ambazo zinakusanywa eneo la bandari peke yake kwa mwaka 2021/2022  hadi kufikia trilioni 26.7 itakapofika mwaka 2032.

Amesema ushirikishwaji wa sekta binafsi sio kitu kipya katika mkataba huo ambao ni wa aina yake.

Amesema mkataba huo umezingatia changamoto za serikali kupitia mkataba wa awali kati ya TPA na TICTS ambao ulikoma tarehe 31 Disemba mwaka 2022.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziTangulizi

Askofu Bagonza: Potofu huzaa potoshi/ potoshi huzaa potofu?

Spread the loveDayosisi 7 za KKKT katika kanda ya Ziwa na Magharibi,...

Biashara

Meridianbet yatoa msaada Kigamboni siku ya Mama Duniani

Spread the loveMABIBGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet imefika kigamboni leo siku...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Dk.Mpango aagiza trafki kuvaa makoti ya kamera kudhibiti rushwa

Spread the loveMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk....

BiasharaHabari Mchanganyiko

PPAA yajipanga kuwanoa wazabuni namna kuwasilisha rufaa kieletroniki

Spread the loveIli kukabiliana na mageuzi yaliyofanyika katika Sheria mpya ya Ununuzi...

error: Content is protected !!