Monday , 13 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Ajichoma moto kisa ugumu wa maisha
Kimataifa

Ajichoma moto kisa ugumu wa maisha

Spread the love

MTU mmoja mkazi wa Kaunti ya Mombasa nchini Kenya amelazwa katika Hospitali Kuu ya Pwani nchini humo baada ya kupata majeraha baada ya kujijijeruhi kwa moto akikusudia kujiua kutokana na ugumu wa maisha. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Manusura huyo, ambaye anadaiwa kuwa ni mkazi wa Kaunti ya Kiambu, alifika katika mzunguko wa duka kuu la Naivasha na kujichoma mbele ya umati uliokuwa ukipita na kushuhudia tukio hilo.

“Alikuwa akilalamikia gharama ya juu ya maisha kabla ya kutekeleza kitendo hicho. Alianguka chini kutoka jirani na mnara baada ya kuungua kwa muda,” alisema mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo.

Hata hivyo, inadaiwa mtu huyo alikuwa amehitimu Chuo Kikuu cha Nairobi, na alipotezana na familia yake iliyochapisha tangazo kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook wiki iliyopita ikisema kwamba inamtafuta.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Palestina mwanachama wa 194 wa UN

Spread the loveBaraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Ijumaa limepitisha kwa...

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

error: Content is protected !!