Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Dk. Mwinyi ashuhudia utiaji saini makubaliano ujenzi Uwanja wa ndege Pemba
Habari Mchanganyiko

Dk. Mwinyi ashuhudia utiaji saini makubaliano ujenzi Uwanja wa ndege Pemba

Spread the love

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi leo Jumatano tarehe 4, Januari,  2023, ameshuhudia utiaji saini wa makubaliano ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Pemba.

Makubaliano hayo yamesainiwa kati ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi na Uongozi wa Kampuni ya Propav kutoka Brazil, pamoja na Mecco ya Tanzania, pia  Ujenzi wa barabara za Chake-Mkoani Pemba, Unguja- Tunguu-Makunduchi na Fumba-Kisauni. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Halfa hiyo imefanyika Ikulu na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Kitaifa wa Serikali,Chama ,wa dini na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!