Saturday , 4 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Wakulima watakiwa kuchangamkia fursa EAC
Habari Mchanganyiko

Wakulima watakiwa kuchangamkia fursa EAC

Spread the love

BODI ya nafaka na mazao mchanganyiko nchini imewataka wakulima na wafugaji kuendelea kuzalisha kwa bidii kwani soko la mazao bado ni kubwa katika ukanda nchi za Afrika Masharikia na kati. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mbeya … (endelea).

Rai hiyo imetokelewa na Ofisa kutoka bodi ya nafaka na mazao mchanganyika, Mhandisi Fredy Mbilinyi katika viwanja vya maonyesho ya wakulima nanenane jiji Mbeya.

Alisema mpaka sasa bodi hiyo imeshafungua vituo vya mauzo ya bidhaa kutoka Tanzania katika za Mji wa Juba nchini Sudani Kusini, Jamhuri ya Demokrasia watu wa Congo, Kenya na Zambia

Naye Waziri wa Mifugo, Mashimba Ndaki akiwa katika zoezi la kukagua na kuangalia mabanda ya maonyesho aliwataka watumishi umma kuwasaidia wakulima na kutoa elimu ili teknolokjia zinaonyeshwa zitolewa kwa wakulima ambao ndiyo walengwa wakuu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Usafiri baharini wasitishwa kukwepa athari za kimbunga Hidaya

Spread the loveUSAFIRI wa baharini umesimamishwa kwa muda ili kukwepa athari za...

Habari Mchanganyiko

RPC Dodoma akabidhiwa bunduki mbili za wahalifu

Spread the love  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua huduma maalum kwa wastaafu

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yazindua akaunti ya Kikundi

Spread the loveBenki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi yenye  maboresho makubwa...

error: Content is protected !!