Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia awapa tano wauguzi
Habari Mchanganyiko

Rais Samia awapa tano wauguzi

Spread the love

RAIS Samia Suluhu Hassan amewatakia kheri wauguzi wote nchini katika kusherehekea siku ya wauguzi duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Katika ujumbe aliobandika kwenye ukurasa wake wa Twitter leo tarehe 12 Mei, 2022 Rais Samia amesema Watanzania wanathamini mchango wa wauguzi katika kulinda afya ya wananchi.

“Tutaendelea kuwekeza zaidi katika sekta ya afya ili kuimarisha mazingira ya utendaji kazi pamoja na masilahi yenu.

Siku ya wauguzi husherehekewa tarehe 12 Mei kama siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya Florence Nightngale, mwana takwimu na mwanzilishi wa uuguzi wa kisasa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!