Monday , 6 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa #LIVE: MEI MOSI, Rais Samia kupandisha mishahara?
Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: MEI MOSI, Rais Samia kupandisha mishahara?

Spread the love

 

LEO ni Mei Mosi, sikuu ya wafanyakazi duniani ambayo kitaifa nchini Tanzania inafanyikia Uwanja wa Jamhuri Dodoma na mgeni rasmi ni Rais Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Ni zaidi ya miaka sita, wafanyakazi wa umma hawajapandishiwa mishahara na Mei Mosi ya mwaka 2021 iliyofanyikia Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, Rais Samia aliahidi nyongeza ya mishahara mwaka huu.

Kauli mbiu ya Mei Mosi 2022 ni; Mishahara na maslahi bora kwa wafanyakazi ndiyo kilio chetu. Kazi iendelee.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Hatukubali kushutumiwa kwa uongo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema viongozi wa...

error: Content is protected !!