LEO ni Mei Mosi, sikuu ya wafanyakazi duniani ambayo kitaifa nchini Tanzania inafanyikia Uwanja wa Jamhuri Dodoma na mgeni rasmi ni Rais Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Ni zaidi ya miaka sita, wafanyakazi wa umma hawajapandishiwa mishahara na Mei Mosi ya mwaka 2021 iliyofanyikia Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, Rais Samia aliahidi nyongeza ya mishahara mwaka huu.
Kauli mbiu ya Mei Mosi 2022 ni; Mishahara na maslahi bora kwa wafanyakazi ndiyo kilio chetu. Kazi iendelee.
Leave a comment