Saturday , 4 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Shirika la Msalaba Mwekundu lajaribu kuingia Mariupol
Kimataifa

Shirika la Msalaba Mwekundu lajaribu kuingia Mariupol

Spread the love

 

MSAFARA mdogo wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu , International Geneve Comitee [ICRC] wa magari matatu, umeondoka kutoka Zaporiahzhia , kuelekea Mariupol kwa lengo la kujaribu kuwasaidia Raia kutoka mji uliozingirwa na Warusi.

Hata hivyo Timu hiyo ilipokea dhamana za Usalama uliohitajika mapema.

Aidha wanataka kufanya operesheni hiyo , kwa siku moja wakitarajia kupata mabasi kwa ajili ya kuwahamisha raia, kutoka maeneo yaliyozingirwa na , kuwapeleka kando ya barabara.

Msaidizi wa Meya wa Moriupol Petro Andryuschenko amesema kwamba , Jiji la kusini mwa Ukraine limezingirwa na kufungwa hakuna anayejaribu kuingia au kutoka ‘’ hatari sana ‘’kwa yeyote atakayejaribu kuingia , kutoka Shirika la Habari la Reuters limeripoti.

Petro Andryschenk amesema kwamba vikosi vya Urusi , vimekuwa vikizua vifaa vya Kibinadamu kuwafikia wakazi walionaswa , hata hivyo ukanda wa kutoa misaada uliopangwa bado haujafunguliwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!