KIJANA mmoja Kaskazini mwa Msumbiji aliyesemekana kufariki Dunia anayefahamika kwa jina la Eurella Manuel Benjamin ameonekana kijijini kwao akiwa mzima Baada ya kufanyika kwa mazishi yake mwenzi Novemba 2021. Anaripoti Rhoda Kanuti, Kwa msaada wa BBC … (endelea).
Manuel Benjamin anasema kuwa , alikuwa akifanya kazi katika shamba la Mjomba wake kwa miezi michache.
Msimamizi wa eneo katika Wilaya ya Montepuez , alimwambia mtangazaji wa Serikakli kwamba sherehe za mazishi zilifanyika , siku ya tatu tukaenda kuangalia kaburi halijafukuliwa.
Aidha Kikosi cha Wataalamu kimetumwa Lindi kufanya Uchunguzi ili kuona ni nani au nini kilichozikwa .
Leave a comment