Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa “Jeshi la Magereza haliongei lugha moja”
Habari za Siasa

“Jeshi la Magereza haliongei lugha moja”

Rais Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

KUTOKUWA na ushirikiano miongoni mwa asktrai na maafisa wa Jeshi la Mageresha kumetajwa kama kikwazo cha kupiga hatua katika maendeleo ya jeshi hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Hayo yameelezwa leo Ijumaa tarehe 25 Machi 2022 na Rais Samia Suluhu Hassan wakati akizindua midadi mablimbali ya jeshi la Magereza jijini Dodoma.

“Kuna tetesi nyingi nazipata inaelekea jeshi la magereza hamuongei lugha moja au hamvuiti upande mmoja wengiune wanavuta kusini wengine wanavuta kaskazini vinginevyo mngefanya hatua kubwa ya maendeleo kuliko hapa,” amesema Rais Samia.

Amesema anazo taarifa kuwa kila mtu anamchunga mwingine kwa mabaya kwa kusubiri mwingine akosee, “dumisheni umoja na msikamano jeshi lote livute upande mmoja, mkeendela kuvuta huku na huku hamtafika mbali,” amesema .

Amewakumbusha kuwa jeshi hilo si mali yao bali ni mali ya watanzania na kwamba wao wameaminwa tu kutoa huduma kwenye jeshi hilo.

“Yule ambaye atakuwa tayari kuturudisha nyuma kwaajili ya nafsi yake nasi tutakwenda naye pamoja,” amesisitiza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Wizara ya Kilimo yapanga kutumia Sh. 1.2 trilioni 2024/25

Spread the loveWIZARA ya Kilimo, imepanga kutumia bajeti ya Sh. 1.2 trilioni...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

Spread the loveSERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha...

Habari za Siasa

Spika Tulia aibana Serikali mafao ya wastaafu Jumuiya ya Afrika Mashariki

Spread the loveSPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kufanya tathimini...

Habari za Siasa

Serikali yawapa maagizo Ma-RC udhibiti magonjwa yasiyoambukiza

Spread the loveWAKUU wa mikoa nchini wametakiwa kuandaa utaratibu wa kuwawezesha wananchi...

error: Content is protected !!