Friday , 17 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Urusi kusitisha mashambulizi kuruhusu misaada ya kibinadamu
Kimataifa

Urusi kusitisha mashambulizi kuruhusu misaada ya kibinadamu

Spread the love

URUSI imesitisha mashambulizi katika miji mingi zaidi ya nchini Ukraine leo tarehe 7 Machi, 2022 ili kuruhusu raia kuondoka, Anaripoti Mwandishi wetu …(endelea).

Usitishaji huo wa mapigano utafanyika kuanzia saa 10:00 jioni kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi huku njia za uokoaji zikiwekwa katika mji mkuu wa Kyiv, Kharkiv, Mariupol na Sumy.

Miji yote hii kwa sasa iko chini ya operesheni kubwa ya uvamizi wa Urusi, licha ya kwamba maofisa wa Ukraine bado hawajathibitisha hili.

Mwishoni mwa wiki juhudi za kufungua njia ya kuruhusu raia kuondoka Mariupol Kusini Mashariki mwa nchi hiyo zilisambaratika.

Maofisa wa Ukraine wanasema hili ni sababu ya Urusi iliendelea kushambulia mji huo wakati wa saa zilizokubaliwa za kusitisha mapigano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Bunge kumuweka katibu mkuu wa EAC kikaangoni

Spread the loveAliyekuwa Katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dk. Peter...

Kimataifa

Palestina mwanachama wa 194 wa UN

Spread the loveBaraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Ijumaa limepitisha kwa...

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

error: Content is protected !!