Thursday , 9 May 2024
Home Kitengo Michezo Yanga, Mbao kukipiga Ccm Kirumba
Michezo

Yanga, Mbao kukipiga Ccm Kirumba

Spread the love

 

Mchezo wa mzunguko wa 32 wa michuano ya kombe la Shirikisho la Azam, kati ya Yanga dhidi ya Mbao Fc, sasa utapigwa kwenye dimba la Ccm Kirumba Mwanza badala ya Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Mchezo huo ambao umepangwa kupigwa tarehe 29 Januari 2022, siku ya Juma Mosi majira ya saa 1o jioni, badala ya muda wa awali was aa 1 usiku.

Mchezo huo namba 79, umeamishiwa kwenye Uwanja wa Ccm Kirumba kufuatia Uwanja wa Benjamin Mkapa kuwa na shughuli nyingine siku ya tarehe hiyo.

Mara baada ya wenyeji wa mchezo huo klabu ya Yanga kujulishwa juu ya matumizi ya Uwanja huo siku ya Jumamosi, ndipo walipoamua kuupeleka mchezo huo jijini Mwanza ambapo kwa msimu huu hakuna timu yoyote ya Ligi Kuu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Kengold wakabidhiwa kombe NBC Championship

Spread the loveMdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki...

Michezo

Piga pesa na mechi za UEFA

Spread the love  HATIMAYE leo hii ndio kitaeleweka nani aende Nusu Fainali...

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

error: Content is protected !!