Wednesday , 1 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa #LIVE: Rais Samia akiapisha baraza la mawaziri
Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: Rais Samia akiapisha baraza la mawaziri

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu, tarehe 10 Januari 2022, analiapisha Baraza lake la mawaziri aliloliteua mwishoni mwa wiki iliyopita. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Pamoja na baraza la mawaziri, pia aliteua makatibu wakuu na naibu katibu wakuu ambao nao wanaapishwa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.

Fuatilia moja kwa moja kinachoendelea

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!