RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu, tarehe 10 Januari 2022, analiapisha Baraza lake la mawaziri aliloliteua mwishoni mwa wiki iliyopita. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Pamoja na baraza la mawaziri, pia aliteua makatibu wakuu na naibu katibu wakuu ambao nao wanaapishwa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
Fuatilia moja kwa moja kinachoendelea
Leave a comment