Thursday , 18 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa #LIVE: Rais Samia akiapisha baraza la mawaziri
Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: Rais Samia akiapisha baraza la mawaziri

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu, tarehe 10 Januari 2022, analiapisha Baraza lake la mawaziri aliloliteua mwishoni mwa wiki iliyopita. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Pamoja na baraza la mawaziri, pia aliteua makatibu wakuu na naibu katibu wakuu ambao nao wanaapishwa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.

Fuatilia moja kwa moja kinachoendelea

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za Siasa

CCM yamkana mwenyekiti UVCCM aliyetaka wapinzani wapotezwe

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimejitenga na kauli ya mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kutunukiwa udaktari wa heshima Uturuki

Spread the loveBaraza la Chuo Kikuu cha Ankara, ambacho ni cha pili...

error: Content is protected !!