Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Michezo Kocha wa Simba aomba radhi
Michezo

Kocha wa Simba aomba radhi

Kocha msaidizi wa Simba, Thiery Hitimana
Spread the love

 

KOCHA msaidizi wa Simba, Thiery Hitimana ameiomba radhi klabu ya Mtibwa sugar kwa kile kilichotokea baina yake na viongozi wa timu hiyo. Anaripoti Hunda Mintanga – TUDARCo … (endelea).

Hitimana ambaye ni raia wa Rwanda amejiunga na klabu ya Simba kwa muda kwa ajili ya michezo ya kimataifa kwani kocha mkuu wa Simba, Dider Gomez hana leseni ya kimataifa ‘CCL PRO’ inayomruhusu kushiriki mechi hizo.

“Mtibwa waligharamia kila kitu mpaka nafika nchini ila baada ya kuanza mazoezi nao nikapigiwa simu na maboss wa Simba wakinihitaji nikafanye kazi na Gomez, nikakubaliana nao kwa sababu ni mtu ambaye tumewahi kufanya nae pamoja tukiwa Rayon Sport.

“Mtibwa wana rasilimali nzuri ya wachezaji hivyo naamini kocha atayekuja atafurahia na kufanya vizuri zaidi kwenye ligi.

“Hivyo ninawaomba yaishe na wafungue ukurasa mpya kwani Mtibwa ni nyumbani kwangu,” amesema.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Jumamosi ya leo ni ya pesa tu kutoka Meridianbet

Spread the love  IKIWA leo hii ni Jumamosi nyingine na tulivu kabisa,...

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

error: Content is protected !!