Tuesday , 19 March 2024
Home Kitengo Michezo Kocha wa Simba aomba radhi
Michezo

Kocha wa Simba aomba radhi

Kocha msaidizi wa Simba, Thiery Hitimana
Spread the love

 

KOCHA msaidizi wa Simba, Thiery Hitimana ameiomba radhi klabu ya Mtibwa sugar kwa kile kilichotokea baina yake na viongozi wa timu hiyo. Anaripoti Hunda Mintanga – TUDARCo … (endelea).

Hitimana ambaye ni raia wa Rwanda amejiunga na klabu ya Simba kwa muda kwa ajili ya michezo ya kimataifa kwani kocha mkuu wa Simba, Dider Gomez hana leseni ya kimataifa ‘CCL PRO’ inayomruhusu kushiriki mechi hizo.

“Mtibwa waligharamia kila kitu mpaka nafika nchini ila baada ya kuanza mazoezi nao nikapigiwa simu na maboss wa Simba wakinihitaji nikafanye kazi na Gomez, nikakubaliana nao kwa sababu ni mtu ambaye tumewahi kufanya nae pamoja tukiwa Rayon Sport.

“Mtibwa wana rasilimali nzuri ya wachezaji hivyo naamini kocha atayekuja atafurahia na kufanya vizuri zaidi kwenye ligi.

“Hivyo ninawaomba yaishe na wafungue ukurasa mpya kwani Mtibwa ni nyumbani kwangu,” amesema.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

Michezo

Tusua kijanja na mechi za Europa leo

Spread the love  Alhamisi ya leo EUROPA inaendelea ambapo ni mechi za...

Michezo

Hapa Diego Simeone, pale Simeone Inzaghi kivumbi cha Ligi ya Mabingwa Ulaya

Spread the love LIGI ya Mabingwa ulaya itaendelea usiku wa leo ambapoitakwenda...

error: Content is protected !!