Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Yanga yaanza kimataifa kwa kipigo
MichezoTangulizi

Yanga yaanza kimataifa kwa kipigo

Spread the love

 

MABINGWA wa kihistoria wa soka nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam wameanza vibaya safari ya michuano ya klabu bingwa Afrika kwa kukubali kipigo cha 1-0 kutoka kwa Rivers United ya Nigeria. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Yanga imeanza safari yake kwenye michuano hiyo leo Jumapili, tarehe 12 Septemba 2021, katika dimba la Benjamin Mkapa, mkoani Dar es Salaam.

Ili Yanga walioingia dimbani wakiwa na kauli mbiu ya ‘Return of the Championi’ wasonge hatua inayofuata, watalazimika kushinda mchezo wa marudiano, wiki mbili zijazo nchini Nigeria.

Goli pekee lililopeleka kilio kwa vijana hao wa Jangwani, limefungwa dakika ya 51 na Omoduemuke Moses kwa kichwa baada ya mabeki wa Yanga, kujichanganya.

Kutokana na ugonjwa wa corona, mchezo huo umechezwa bila mashabiki.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!