Thursday , 9 May 2024
Home Kitengo Michezo Peter Banda afungua usajili Simba
MichezoTangulizi

Peter Banda afungua usajili Simba

Spread the love

 

Winga wa kimataifa wa Malawi Peter Banda, amekuwa mchezaji wa kwanza kufungua dirisha la usajilin ndani ya klabu ya Simba mara baada ya kutambulisha hii leo kama mchezaji mpya ndani ya kikosi hiko. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Usajili wa kinda hilo (20), umekuwa wa kwanza ndani ya klabu hiyo toka kufunguliwa kwa dirisha la usajili tarehe 19 Julai 2021.

Mchezaji huyo ambaye anamilikiwa na klabu ya Nyasa Bullets ya nchini Malawi, amejiunga na Simba akitokea kwenye klabu ya Sherrif FC ambapo alipokuwa akicheza kwa mkopo na mkataba wake kumalizika.

Kusajiliwa kwa winga huyo, huwenda kukawa mwisho wa nyota kutoka nchini Zimbabwe Perfect Chikwende ambaye alisajiliwa kwenye dirisha dogo na kushindwa kuonesha makali yake.

Mchezaji huyo amejiunga na mabingwa hao wa Ligi Kuu kewa mkataba wa miaka mitatu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Kengold wakabidhiwa kombe NBC Championship

Spread the loveMdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Kuanzia Agosti marufuku kutumia mkaa, kuni

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mwendokasi Kigogo – Segerea kujengwa awamu ya 5

Spread the loveNaibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Festo Dugange...

Michezo

Piga pesa na mechi za UEFA

Spread the love  HATIMAYE leo hii ndio kitaeleweka nani aende Nusu Fainali...

error: Content is protected !!