Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Azam Fc yasaini mwengine kutoka Congo
MichezoTangulizi

Azam Fc yasaini mwengine kutoka Congo

Spread the love

KLABU ya Azam FC imefanikiwa kunasa saini ya mshambuliaji raiawa kidemokrasia ya Congo, Idris Mbombo kwa mkataba wa miaka miwili. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Mchezaji huyo amesaini mkataba huo, mbele ya mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Abdukarim Amin ‘Popat’ leo jijini Dar es Salaam.

Mbombo ambaye amepita kwenye klabu za Nkana Red Devil na Zesco zote kutoka Zambia na baadae kukipiga kwenye klabu ya Kabwe Warriors na kisha kutimkia nchini Misri kwenye timu ya Al Gouna.

Mshambuliaji huyo, anatimiza idadi ya wachezaji sita waliosajiliwa na klabu hiyo mpaka sasa kuelekea msimu ujao wa mashindano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!