Thursday , 18 April 2024
Home Kitengo Michezo Azam Fc yasaini mwengine kutoka Congo
MichezoTangulizi

Azam Fc yasaini mwengine kutoka Congo

Spread the love

KLABU ya Azam FC imefanikiwa kunasa saini ya mshambuliaji raiawa kidemokrasia ya Congo, Idris Mbombo kwa mkataba wa miaka miwili. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Mchezaji huyo amesaini mkataba huo, mbele ya mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Abdukarim Amin ‘Popat’ leo jijini Dar es Salaam.

Mbombo ambaye amepita kwenye klabu za Nkana Red Devil na Zesco zote kutoka Zambia na baadae kukipiga kwenye klabu ya Kabwe Warriors na kisha kutimkia nchini Misri kwenye timu ya Al Gouna.

Mshambuliaji huyo, anatimiza idadi ya wachezaji sita waliosajiliwa na klabu hiyo mpaka sasa kuelekea msimu ujao wa mashindano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kutunukiwa udaktari wa heshima Uturuki

Spread the loveBaraza la Chuo Kikuu cha Ankara, ambacho ni cha pili...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atua Uturuki kwa ziara ya siku 5

Spread the loveRais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano amewasili nchini Uturuki kwa...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

error: Content is protected !!