Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Lamine ampewa mkono wa kwaheri Yanga
Michezo

Lamine ampewa mkono wa kwaheri Yanga

Lamine Moro, Nahodha wa Yanga
Spread the love

 

KLABU ya Yanga imeachana rasmi na mlinzi wake wa kati, ambaye pia alikuwa nahodha wa kikosi hicho, Lamine Moro baada ya makubaliano ya pande zote mbili. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Lamine ameacha na klabu yake hiyo baada ya kuitumikia katika kipindi cha miaka miwili.

Taarifa kutoka iliyotolewa na klabu ya Yanga, imeeleza kuwa ndoa ya wawili hao imevunjika ramsi kwa kufikia muafaka wa pande zote mbili na kumtakia kila la heri.

Mchezaji huyo anaachana na Yanga baada ya sintofahamu ya muda mrefu na kufanya kukosa baadhi ya michezo ya Ligi Kuu, kutokana na utovu wa nidhamu.

Kuondoka kwa Lamine kutaifanya klabu ya Yanga kuingia sokoni kwa ajili ya kutafuta mlinzi mwingine wa kati katika dirisha hili kubwa la usajili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

error: Content is protected !!