Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Michezo Lamine ampewa mkono wa kwaheri Yanga
Michezo

Lamine ampewa mkono wa kwaheri Yanga

Lamine Moro, Nahodha wa Yanga
Spread the love

 

KLABU ya Yanga imeachana rasmi na mlinzi wake wa kati, ambaye pia alikuwa nahodha wa kikosi hicho, Lamine Moro baada ya makubaliano ya pande zote mbili. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Lamine ameacha na klabu yake hiyo baada ya kuitumikia katika kipindi cha miaka miwili.

Taarifa kutoka iliyotolewa na klabu ya Yanga, imeeleza kuwa ndoa ya wawili hao imevunjika ramsi kwa kufikia muafaka wa pande zote mbili na kumtakia kila la heri.

Mchezaji huyo anaachana na Yanga baada ya sintofahamu ya muda mrefu na kufanya kukosa baadhi ya michezo ya Ligi Kuu, kutokana na utovu wa nidhamu.

Kuondoka kwa Lamine kutaifanya klabu ya Yanga kuingia sokoni kwa ajili ya kutafuta mlinzi mwingine wa kati katika dirisha hili kubwa la usajili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!