Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia kushiriki mkutano SADC Msumbiji
Habari Mchanganyiko

Rais Samia kushiriki mkutano SADC Msumbiji

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, yupo Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Mkutano huo, utafanyika leo Jumatano tarehe 23 Juni, 2021.

Mkutano huo unafanyika mjini Maputo Msumbiji ambapo Rais Filipe Nyusi ndio Mwenyekiti wa sasa wa SADC.

Rais Samia aliondoa katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma kwenda Msumbiji jana jioni, tarehe 22 Juni 2021.

Uwanjani hapo, Rais Samia aliagana na viongozi mbalimbali akiwemo, Dk. Philip Mpango, Makamu wa Rais wa Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari Mchanganyiko

Chongolo aonya viongozi vijiji kutouza NIDA kwa wageni

Spread the loveMKUU wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amewaonya viongozi wa...

Habari Mchanganyiko

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu wa GGML

Spread the loveSHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) pamoja na Wakala...

error: Content is protected !!