Wednesday , 1 May 2024
Home Kitengo Michezo Azam FC wampa mkataba mpya Dube mpaka 2024
MichezoTangulizi

Azam FC wampa mkataba mpya Dube mpaka 2024

Spread the love

Klabu ya Azam Fc imemuongezea mkataba miaka miwili mshambuliaji wake raia wa Zimbabwe Prince Dube ambapo utamfanya kusalia hapo hadi 2024. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Dube amesaini mkataba huo hii leo tarehe 1 Juni, 2021 mbele ya mtendaji mkuu wa klabu hiyo Abdukarim Amin maarufu kama Popat.

Mshambuliaji huyo kwa sasa ndiye kinara wa upachikaji mabao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara mara baada ya kuingia kambani mara 17.

Mfumania nyavu huyo  alijiunga na Azam FC mwezi Agost 2021 kwenye dirisha kubwa la usajili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!