Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia atoa salamu Eid El Fitri
Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa salamu Eid El Fitri

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatakoa Watanzania wote sherehe njema ya Eid El Fitri. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). 

Leo Ijumaa, tarehe 14 Mei 2021, Waislamu wanasherekea sikuu kuu ya Eid, wakihitimisha mfungo mtukufu wa Ramadhan.

Katika ukurasa wake wa Twitter, Rais Samia ametoa salamu hizo akisema “Nawatakia Watanzania wote sherehe njema za Eid El Fitr.”

“Tusherehekee kwa amani na utulivu huku tukiyakumbuka na kuyaenzi mafunzo mema ya Mtume wetu (SAW) na yote tuliyojifunza wakati wa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.”

Amemalizia akisema “Mwenyezi Mungu awe nasi daima, Inshaallah. Eid Mubarak.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!