Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Michezo Man City bingwa mpya EPL
MichezoTangulizi

Man City bingwa mpya EPL

Spread the love

 

KLABU ya Manchester City imetangzwa kuwa bingwa mpya wa Ligi Kuu nchini England mara baada ya Manchester United kukubali kichapo cha mabao 2-1, mbele ya Leceister City na hivyo kushindwa kufikia pointi za Manchester City hata wakishinda michezo iliyobaki. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Mara baada ya kupoteza mchezo huo Manchester United inasalia kwenye nafasi yake ya pili akiwa na pointi 70, huku Manchester City kwenye nafasi ya kwanza akiwa na pointi 80 wote wakisalia na michezo mitatu.

Huu unakuwa ubingwa wa tano kwa Manchester City huku mataji matatu wakitwaa chini ya Pep Guardiolla ambaye alijiunga na kikosi hiko 2016 akitokea klabu ya Bayern Munchen kutoka Ujerumani.

Man City imechukua ubingwa katika msimu wa 2011-12, 2013-14, 2017-18, 2018-19 na 2020-21.

 

 

 

 

 

 

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Michezo

Jumamosi ya leo ni ya pesa tu kutoka Meridianbet

Spread the love  IKIWA leo hii ni Jumamosi nyingine na tulivu kabisa,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

error: Content is protected !!