Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mwendesha mashtaka akamatwa tuhuma za rushwa milioni 5
Habari Mchanganyiko

Mwendesha mashtaka akamatwa tuhuma za rushwa milioni 5

Spread the love

 

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Manyara, inamshikilia Mwendesha Mashtaka wa mkoa huo, Wakili Mtalemwa Kishenyi kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Sh.5 milioni kutokwa kwa watuhumiwa wa makosa ya jinai. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Wakili Kishenyi, alikamatwa na maofisa wa Takukuru usiku wa juzi Jumamosi, tarehe 23 Aprili 2021, akiwa amepokea kiasi hicho cha fedha.

Taarifa ya kukamatwa kwake, imetolewa leo Jumapili tarehe 25 Aprili 2021 na Holle Makungu, Mkuu wa Takukuru, Mkoa wa Manyara.

Pia, Takukuru imemtaka Mkurugenzi wa Mati Super Brands, David Mulokozi, kufika mara moja leo Jumapili Takukuru kwa mahojiano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!