Sunday , 19 May 2024
Home Kitengo Michezo Simba, Yanga zapangwa na ligi daraja la kwanza kombe la FA
Michezo

Simba, Yanga zapangwa na ligi daraja la kwanza kombe la FA

Spread the love

 

DROO ya hatua ya 32 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (FA) imechezeshwa hii leo ambapo jumla ya michezo 16 itachezwa kumsaka bingwa kwa msimu wa 2020/21. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Kwa upande wa mabingwa watetezi wa kombe hilo klabu ya Simba wataanza kampeni yao kwa kuwavaa African Lyon inayoshiriki ligi daraja la kwanza ambao watakuwa nyumbani, huku watani zao klabu ya Yanga wataawalika Kengold kutoka ligi daraja la kwanza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Uchezeshwaji wa droo hiyo umefanyika hii leo tarehe 9 Februari 2021, kwenye makao makuu ya Azam TV yaliyopo Tabata, jijini Dar es Salaam na michezo hiyo itaanza kupigwa kuanzia Machi mwaka huu.

Ratiba kamili hapo chini

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Uingereza, Hispania, Italia na Ufaransa kinawaka leo

Spread the loveLIGI mbalimbali barani ulaya kuendelea leo na michezokadhaa mikali itakwenda...

Michezo

Leo mkwanja upo Meridianbet, usipishane nao

Spread the love  Siku ya leo ni nzuri sana kwa wewe mtumiaji...

Michezo

Anza wikendi yako na Meridianbet, upige mkwanja wa maana

Spread the love Siku ya leo ni nzuri sana kwa wewe mtumiaji...

Habari MchanganyikoMichezo

Arafat atoka bima na kurejea kwenye benki

Spread the loveRais wa Zanzibar Hussein Mwinyi amemteua Arafat Ally Haji kuwa...

error: Content is protected !!