Saturday , 25 March 2023
Home Kitengo Michezo Simba, Yanga zapangwa na ligi daraja la kwanza kombe la FA
Michezo

Simba, Yanga zapangwa na ligi daraja la kwanza kombe la FA

Spread the love

 

DROO ya hatua ya 32 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (FA) imechezeshwa hii leo ambapo jumla ya michezo 16 itachezwa kumsaka bingwa kwa msimu wa 2020/21. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Kwa upande wa mabingwa watetezi wa kombe hilo klabu ya Simba wataanza kampeni yao kwa kuwavaa African Lyon inayoshiriki ligi daraja la kwanza ambao watakuwa nyumbani, huku watani zao klabu ya Yanga wataawalika Kengold kutoka ligi daraja la kwanza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Uchezeshwaji wa droo hiyo umefanyika hii leo tarehe 9 Februari 2021, kwenye makao makuu ya Azam TV yaliyopo Tabata, jijini Dar es Salaam na michezo hiyo itaanza kupigwa kuanzia Machi mwaka huu.

Ratiba kamili hapo chini

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

Michezo

Kimwanga CUP yazidi kutimua vumbi

Spread the loveMASHINDANO ya mpira wa miguu ya Kimwanga CUP ya kuwania...

error: Content is protected !!