Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo Simba, Yanga zapangwa na ligi daraja la kwanza kombe la FA
Michezo

Simba, Yanga zapangwa na ligi daraja la kwanza kombe la FA

Spread the love

 

DROO ya hatua ya 32 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (FA) imechezeshwa hii leo ambapo jumla ya michezo 16 itachezwa kumsaka bingwa kwa msimu wa 2020/21. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Kwa upande wa mabingwa watetezi wa kombe hilo klabu ya Simba wataanza kampeni yao kwa kuwavaa African Lyon inayoshiriki ligi daraja la kwanza ambao watakuwa nyumbani, huku watani zao klabu ya Yanga wataawalika Kengold kutoka ligi daraja la kwanza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Uchezeshwaji wa droo hiyo umefanyika hii leo tarehe 9 Februari 2021, kwenye makao makuu ya Azam TV yaliyopo Tabata, jijini Dar es Salaam na michezo hiyo itaanza kupigwa kuanzia Machi mwaka huu.

Ratiba kamili hapo chini

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!