Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo FC Platinum yabariki usajili wa Chikwende Simba
Michezo

FC Platinum yabariki usajili wa Chikwende Simba

Perfect Chikwende akisaini mkataba wa kuitumikia klabu ya Simba
Spread the love

KLABU ya FC Platinum inayoshiriku Ligi Kuu nchini Zimbabwe imethibitisha kuwa imefikia makuabaliano na Simba kuhusu uhamisho wa kiungo wao mshambuliani Perfect Chikwende. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam …  (endelea).

Chikwende alionekana mwiba mara baada ya kuwafunga Simba kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa nchini Zimbabwe kwenye mzunguko wa kwanza na kufanya timu hiyo kuibuka na ushindi wa bao 1-0 na baadae kufungwa bao 4-0 kwenye mchezo wa marudiano uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam.

Taarifa kutoka ndani ya klabu ya FC Platinum imeeleza kuwa timu zote mbili zimefikia makubaliano juu ya uhamisho wa mchezaji huyo na hivyo wanamtakia kila la kheri kwenye majukumu yake mapya.

Mchezaji huyo ambaye ameshatua nchini huenda akatambukishwa leo tarehe 15 Januari, 2021 kama mchezaji mpya wa klabu ya Simba.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

error: Content is protected !!