Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Museveni atua Chato
Habari za Siasa

Rais Museveni atua Chato

Spread the love

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewasili Uwanja wa Ndege wa Chato Mkoa wa Geita na kupokewa na mwenyeji wake, Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli ili kushuhudia utiaji saini mkataba ujenzi mradi wa bomba la mafuta. Anaripoti Faki Sosi…(endelea).

Shughuli hiyo inafanyikia Uwanja wa Ndege wa Chato huku kukiwa na tahadhari zote za kujikinga na maambukizo ya virusi vya corona (COVID-19).

Viongozi mbalimbali wa kiserikali kama mawaziri na watebdaji wa taasisi na wale wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanashiriki shughuli.

Endelea kufuatilia MwanaHalisi Online na MwanaHalisi TV kwa habari zaidi.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!