Friday , 9 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Museveni atua Chato
Habari za Siasa

Rais Museveni atua Chato

Spread the love

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewasili Uwanja wa Ndege wa Chato Mkoa wa Geita na kupokewa na mwenyeji wake, Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli ili kushuhudia utiaji saini mkataba ujenzi mradi wa bomba la mafuta. Anaripoti Faki Sosi…(endelea).

Shughuli hiyo inafanyikia Uwanja wa Ndege wa Chato huku kukiwa na tahadhari zote za kujikinga na maambukizo ya virusi vya corona (COVID-19).

Viongozi mbalimbali wa kiserikali kama mawaziri na watebdaji wa taasisi na wale wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanashiriki shughuli.

Endelea kufuatilia MwanaHalisi Online na MwanaHalisi TV kwa habari zaidi.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Lussu: Mkataba wa DP bandarini si wa miaka 100

Spread the loveMAKAMU Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema hakuna ukweli wowote...

Habari za SiasaTangulizi

Maulid Mtulia: Kutoka ubunge hadi U-DAS

Spread the love ALIYEKUWA mbunge wa Kinondoni, kupitia vyama vya The Civil...

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

Spread the loveMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

Spread the love  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha...

error: Content is protected !!