Wednesday , 8 May 2024
Home Kitengo Maisha Afya Milioni 18 wapona corona dunia
Afya

Milioni 18 wapona corona dunia

Spread the love
MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19) duniani yamefikia milioni 26.18, waliopona milioni 18.44 na waliofariki kutokana na ugonjwa huo ni 867,370. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea)

Mtandao wa worldometer unaonyesha leo Alhamisi tarehe 3 Septemba 2020 Marekani inaongoza kwa kuwa na maambukizo milioni 6.29, waliopona milioni 3.54 na waliofariki 189,964.

Brazil inashika nafasi ya pili kwa kuwa na maambukizo milioni 4, waliofariki dunia 123,899 na waliopona milioni 3.2.

China ambako corona ilianzia mwishoni mwa mwaka 2019, inashika nafasi ya 38 ikiwa na maambukizo 85.077 na waliofariki dunia kutokana na ugonjwa huo ni 4,634 na waliopona ni 80,251.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kisukari cha mimba ni nini?

Spread the loveKisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi...

AfyaHabari Mchanganyiko

Huduma za kibingwa zazinduliwa katika hospitali za halmashauri 184

Spread the loveSERIKALI imezindua huduma za matibabu za kibingwa katika hospitali 184...

AfyaHabari Mchanganyiko

200 wapimwa afya na GGML katika maonesho ya OSHA

Spread the loveZAIDI ya watu 200 jijini Arusha wamejitokeza kupimwa afya na...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!