Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa NEC yatupa mapingamizi ya Tundu Lissu
Habari za SiasaTangulizi

NEC yatupa mapingamizi ya Tundu Lissu

Dk. Wilson Mahera, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC
Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeyatupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema dhidi ya wagombea wenzake wawili katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano 28 Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea)

Lissu aliwawekea pingamizi leo Jumatano tarehe 26 Agosti 2020, Rais John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Profesa Ibrahim Lipumba wa Chama Cha Wananchi (CUF).

Miongoni mwa sababu alizoeleza Lissu zilizomfanya kuweka pingamizi ni makosa yaliyomo kwenye fomu za Rais Magufuli na Profesa Lipumba ikiwemo Rais Magufuli kuwasilisha picha zisizo sahihi.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa NEC, Dk. Wilson Mahera amesema, baada ya kupokea mapingamizi aliwajulisha wahusika ambao walitoa utetezi wao.

Taarifa yote ya Dk. Mahera hii hapa:-

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

error: Content is protected !!